KESHO NDO KESHO-KILIMANJARO RESTAURANT-WASHINGTON DC NDO KUFUNGULIWA RASMI NA MAAFISA WA UBALOZI !!

        


           MISOSI HIYO- MPISHI MKUU -CHEF SHABANI ASEMA MAPISHI NI SANAA !


NEW POPE IS ALREADY A SUPER STAR !!!!!

0313_the_new_pope_alana_vagina_getty
Pope Francis has already become a superstar back in his home country of Argentina ... and when he returns, he'll have Alotta Fagina waiting there to congratulate him ... TMZ has learned. 

We spoke to Fabiana Udenio -- the Argentinian-born actress who played Fagina in "Austin Powers" -- who says she's bursting with pride over the papal election. 

"Catholic people in South America are very passionate people and I think this will be good for the spiritual side of the religion because it may attract more passionate people to join the religion," she said.

Fagina added, "[The people of South America] are less jaded by the skepticism brought on by the scandals that have burdened the Catholic church in the past.” 

The actress says she's excited to see how an Argentinian will shake things up in Italy -- “The fusion of both cultures will be a great thing for Catholics everywhere.”

Groovy baby ... yeah

                                                             THANKS TMZ !

NGULI WA FILAMU TANZANIA-HEMEDI ALA SHAVU NONO!


Muigizaji wa filamu nchini Hemedy Suleiman aka PHD amekula shavu la nguvu la kupewa mkataba na kampuni moja ya usambazaji nchini kuigiza filamu saba kwa mwaka.

Akiongea na gazeti la Mwananchi, Hemedy alisema mkataba huo utamfanya yeye kufikiria zaidi filamu zake kuliko kucheza kwenye filamu za watu wengine.
Aliliambia gazeti hilo kuwa ubize huo wa mwaka pia ndo unamfanya kushindwa kuanza kutengeneza nguo za ndani za wanawake kama alivyosema mwaka huu kuwa anatarajia kuanza kubuni nguo zake za kike za ndani za wanawake.
“Watu kila siku wanajitokeza wanabuni tisheti, makoti na vitu vingine, mimi nilikaa chini nikafikiria kwanini mama zetu, dada zetu wanaenda kununua nguo za ndani za mtumba Mwenge na kwenye masoko mengine? Nikaona si kitu kizuri kwa kuwa hizo zimetoka nje ya nchi na zimeshavaliwa kwa hiyo mimi ndo nikaona nibuni nguo za ndani kwa ajili yao,”aliliambia gazeti hilo la kila siku.
Pia alidai kuwa ana mpango wa kurudi shule kumalizia ‘Degree’ yake ya Masoko ambayo alishaanza lakini alishindwa kuendelea kutokana na kazi.

Vyama vya siasa vinaweza kufanya kazi pamoja na kuleta mabadiliko - Maalim Seif


Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Kigogo Dar es Salaam jana 
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Kigogo Dar es Salaam jana 
Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Kinondoni Juma Nkumbi akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Kigogo Dar es Salaam jana 
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akimtwisha ndoo ya maji mwananchi wa mtaa wa “Msisiri B” baada ya kufungua rasmi kisima cha maji katika mtaa huo. (Picha na Salmin Said, OMKR).

Na Hassan Hamad OMKR 
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema vyama vya siasa vinaweza kufanya kazi pamoja na kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo. 

Amesema kitu cha msingi ni kwa vyama hivyo kuwa na nia ya dhati ya kuwatumikia wananchi.
Maalim Seif ameeleza hayo kwa nyakati tofauti wakati akiwa katika ziara ziara ya siku moja ya kutembelea miradi ya maendeleo katika manispaa ya Kinondoni mjini Dar es Salaam, ambapo baade alifanya mkutano wa hadhara katika eneo la Kigogo. Amesema suala la vyama vya siasa kushirikiana katika kuendesha nchi sio jambo geni na kutolea mfano kwa nchi zilizoendelea zikiwemo za Ulaya.

Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar amefahamisha kuwa muda mfupi tangu kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar imepata mafanikio makubwa ambayo hayakuweza kupatikana kabla ya kuwepo kwa muundo huo wa serikali.

Ameyataja baadhi ya mafanikio yaliyopatikana kuwa ni pamoja na kuwawezesha wakulima wa zao la karafuu kupata hadi asilimia 80 ya soko la dunia, kuongezwa mishahara ya wafanya kazi kwa asilimia 25, pamoja na kupunguza bei ya pembejeo za kilimo.

BREAKING NEWS....MAJINA YA WAGOMBEA UONGOZI CCM-DMV NDIYO HAYA HAPAAAA!