THIS IS GOIN ON TODAY..JULY 4 TH -FAMILY FUN-NYAMA CHOMA,KUKU CHOMA,MUZIKI -ANZA KUJIPANGA PANGA WEEKEND NDEEEEEFU !


MASANJA, SHILOLE WATEMBELEA VOA NA JENGO JEUPE WASHINGTON, DC

Kutoka kushoto ni Mery Mgawe, Hadija Riyam, Shilole, Sunday Shomari, Dr. Hamza Mwamoyo, Ilham Dirran, Masanja na Raymond Maro katika picha ya pamoja wakati wasanii Shilole n Masanja walipotembelea studio za Voice Of America Idhaa ya Kiswahili Jijini Washington.
Msanii Shilole akifanyiwa mahojiano ya Luninga na mtangazaji wa VOA, Sunday Shomari
Msanii Masanja Mkandamizaji akifanyiwa mahojiano ya Luninga na mtangazaji Sunday Shomari.
Wasanii Shilole na Masanja wakifanyiwa mahojiano ya Radio na mtangazaji wa VOA idhaa ya Kiswahili, Sunday Shomari.
Wasanii Masanja na Shilole wakipata picha nje ya mjengo wa Voice Of America.

Msanii Masanja akipata picha nje ya jengo jeupe (white House), Ikulu ya ya Rais wa Marekani
Msanii Shilole akipata picha nje ya jengo jeupe alipokwenda yeye na Masanja kutembele mjengo huo.
Shilole na Masanja wakiwa nje ya jengo jeupe
Shilole na Masanja katika picha ya pamoja na Mdau Liberatus Mwang'ombe kulia ni watoto waliokua wakipata nao picha za kumbukumbu kutoka kwa wazazi wao (hawapo pichani)
Masanja akiwa katikati ya mktaa wa Pennsylvania, mtaa ulipo jengo jeupe.
Wasanii Masnja na Shilole wakikatiza kitaa cha Pennsylvania