OMMY DIMPOZ AITIKISA DAR LIVE AKISHIRIKIANA NA JOH MAKINI NA WENGINE WENGI!


             Mashabiki walipagawa huku wakimvuta kila mtu akitaka kumgusa gusa tu.

                          Washabiki wakiitaka Miwani aliyokuwa amevaa Dimpoz

              Mwamba wa Kaskazini Joh Makini akilishambulia Jukwaa Vilivyo

                 Masai wa Kigoma..naye alikuwepo na miondoko yake ya Kimasai masai

                 Twanga Pepeta wakitwanga Jukwaani..kama wanavyoonekana

         Mwana Mazingaombwe Profesa Kalabash naye akifanya mbwembwe zake jukwaani
Hakika sikukuu ya Eid ilikuwa swafi kabisa kwa wakazi wa Dar-es-salaam kwakuwa mbali na Dar Live pia kulikuwa na show nyingi tu Kigambni na sehemu zingine.

MWANA DADA SARA KAISI "SHAA" AJA NA TEASER YA WIMBO WAKE MPYA "SUGUA GAGA "

 

SIKUKU YA EID-WATOTO WAJIRUSHA RUSHA NDANI YA DAR LIVE !


       Juu na Chini Watoto wakionyesha Miondoka yao Kabla ya Show ya Ommy Dimpoz na Joh Makini Usiku.

                                                          Watoto wa Dar utawaweza wewe?





               Kama Desturi yetu Mchana ni Party toto na watoto walifurahia sana.
Kutoka GPL