MAENDELEO YA MSIBA WA DADA YETU MARTHA SHANI DMV!

KWA WATANZANIA WOTE

Marehemu Martha Shani ( 1976- 2013 )
Marehemu Bi Martha akiwa na Mumewe Alex pamoja na Watoto wao Jose na Chris

NDUGU WATANZANIA BADO TUNAHITAJI MSAADA WENU WA HALI NA MALI ILI KUWEZESHA KUSAFIRISHA MWILI WA MPENDWA MKE WAKE ALIYEFARIKI GHAFLA SIKU YA JUMAMOSI OCT 19, 2013. KUTOA NI MOYO NA CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KITASAIDIA NA HATIMAE KUWEZESHA SAFARI HII NDEFU YA KUMPELEKA MAREHEMU KATIKA MAPUMZIKO KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE TANZANIA
TUNGEPENDA KUWAJULISHA KUWA JUMUIYA YA WATANZANIA (DMV) IMEPATA PUNGUZO LA GHARAMA (DISCOUNT) ZA  KUMSAFIRISHA MAREHEMU NA FAMILIA YAKE AMBAPO KWA SASA KIASI KINACHOHITAJIKA NI $ 16,500

FEDHA ZILIZOPATIKANA HADI SASA  NI $8,620
BADO TUNAHITAJI $ 7,880

TAFADHALI TUMA RAMBI RAMBI ZAKO KUPITIA ACCOUNT IFUATAYO :-
# 446030759150 BANK OF AMERICA,MD
ROUTING # 052001633
MAJINA KWENYE ACCOUNT NI ALEX KASSUWI & FAITH ISINGO

CHEKI ZINAWEZWA ANDIKWA KWA ALEX KASSUWI AU FAITH ISINGO.

PIA UNAWEZA KUTOA RAMBIRAMBI ZAKO KWA KUFIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU AMBAKO NDIKO MSIBA UPO
ADDRESS NI 
482 ARWELL CT
FREDERICK, MD,21703

AU WAWEZA WASILIANA NA MMOJA YA WANAKAMATI HAPO CHINI NA KUMUELEKEZA UPO WAPI ILI AWEZE KUKUSANYA MCHANGO WAKO 

Tino Malinda -240-565-7133
Dickson Mkama - 301-661-6207
Mariam Mtunguja - 240-422-1852
Quizella Ntagazwa - 240-602-5011
MV Mtunguja- 240-593-0575
Victor Marwa - 240-515-6436

Faith Isingo - 240-705-1055
Julius Manase-240-393-8445
UKISOMA UJUMBE HUU TAFADHALI MTAARIFU NA MWENZIO, WAJIBU HUU NI WETU SOTE NA KWA PAMOJA TUNAWEZA
HAKUNA KIDOGO PALIPO NA NIA. NA HAKUNA KIKUBWA PALIPO NA UMOJA.

VIDEO-KANYE PROPOSAL TO KIM!

BOW WOW TALKIN NEW ALBUM ON CASH MONEY!

Rapper Bow Wow is planning to showcase a more mature side of his rap career, with an upcoming mixtape that is slated to drop at the top of the year.
According to Bow Wow, the untitled mixtape will reunite the rapper with the man who discovered him – Snoop Lion.
Bow Wow told AllHipHop.com that the mixtape will be eight tracks and will be narrated by Snoop Lion.
“It’s a movie, it’s unlike anything that has ever been put together before,” Bow Wow told AllHipHop.com. “Snoop is narrating it, and of course I’ve got the movie to go with it, so that’s [the mixtape] is how I am launching my first official project off Cash Money.”
Bow Wow also revealed that the mixtape would be accompanied by visuals, that would make up a movie.
Bow Wow told AllHipHop.com that he decided to put his recording career on hold, as he focused on his hosting duties at “106 & Park.”
He also said his Cash Money debut will feature more mature content, since he has grown in life, which includes his new gig at BET as well as the job of being a father.
“When I started at BET I didn’t want to attack it and make it look like I took over ’106 & Park’ to pump my s**t,” Bow Wow explained to AllHipHop.com. “I had to approach that s**t like a real job and take it over. As you can see, I put out no videos on the countdown, I didn’t do none of that. I wanted to get a full year in before I got back into that and I was waiting for more material I had my daughter, she’s going on three.I got alotta s**t to now right about and go in-depth with.

P DIDDY DREAM IS TO ONW NFL TEAM..IT WILL HAPPEN!

Diddy partying on New Year's Eve in St Barths
Looks like Diddy is back with a vengeance. From a money point of view, he and Jay are at the top of the food chain with Dr. Dre. But, Jay and Diddy are more hustlers than the good doc, I think. So, Jay owned some of the Nets and eventually sold it. So, what is Diddy ready to do? Looks like Diddy wants to be the first African American to own a majority stake in an NFL team.

The Bad Boy mogul told Bloomberg TV his reasoning.
“I love sports, but I’m more of a owner type of guy, so I have aspirations to become — which it will happen — I will become the first African-American majority owner. Not having a small stake but actually owning an NFL team. I think it’s time for that. A majority of players that are in the NFL are African-American, but there are no African-American owners. So that’s one of my dreams. When I get the calls, ‘Well, we need to do Bad Boy Sports,’ I’m like, ‘No, that’s not my lane,’” Diddy said. “I stay in my lane. This is the lane that I want to do. And I’m just me; I do my own thing.”
Interesting and I think he can do it. He just launched Revolt TV. I’m wondering what the financial backing on that is like. I don’t see him coming out of pocket from his estimated $580 million he’s worth.

MSIBA DMV NA TANZANIA !

Familia ya Bw na Bibi Keith Thornton wa Capital Heights Md wanasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Beatrice Kilima. Mzee Kilima , aliyefariki dunia Jumanne Oktoba 22 jijini Dar es salaam Tanzania. Baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kama desturi yetu tumpe pole mwenzetu lakini kwa hivi sasa Beatrice yuko njiani kuelekea Tanzania kwa ajili ya mazishi lakini tumkumbuke kwenye sala zetu na akirudi tutawajulisha. Asanteni