Gari la Chameleone lakamatwa Kwa kushindwa kulipa Kodi.


   Mwanamuziki Tajiri kuliko wote Afrika Mashariki Jose Chameleone amenyang'anywa Gari lake aina ya Cadilac Escalade baada ya Kushindwa kulipia Kodi yenye thamani ya jumla ya Shiling Milioni 7 za Uganda.
   Akizungumza kwa njia ya Simu na Swahili Meadia Group Chameleone alithibitisha kukamatwa kwa gari hilo akiwa anajiandaa na show yake kubwa ya Tubonge na akadai kuwa tatizo sio pesa bali nikwamba URA(Uganda Revenue Authority) walishindwa  Kuthibitisha ni vigezo gani walitumia kupata thamani ya kodi ya Shilingi Milioni 7.

EMBU MWANGALIE X -GIRLFRIEND WA DRAKE


DIAMOND OFF TO NIGERIA AGAIN


                                               Diamond na Wema wakiwa Aiport
Diamond akiongea na Swahili Media hakutaka kutoa dondoo nyingi ila alisema kuwa tutegemee kuona Colabo na Wasanii wakubwa wa Nigeria kama DBanji na Wiz Kid.

                                     Akiwa akiwa ameongozana na Manager wake Babu Tale

VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com na toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na VIJIMMBO RADIO

JENNIFER LOPEZ BRAND NEW VIDEO...SHE IS CHANGING THE VIDEO VIXEN GAME

                         
TEAM NZIMA YA DMK GLOBAL PROMOTIONS INAKUTAKIA HERI YA KUZALIWA...NA MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUZIDISHIA MIAKA MINGINE MINGI.

KISHAKILENA REALITY TV SHOW FIRST EPISODE


KISHAKILENA Reality TV Show
LikeBrothaz Production
KISHAKILENA Reality TV Show is geared towards exploring the complexity of life particularly when beautiful girls referred to as ‘Kishakilena’ come under one roof. Though they share cultural heritage they have different personalities that set out serious life dramas.
Episode‐#1 establishes the show’s characters by zeroing in on; Jestina, CoCo Diva, Kim, Nusrat and Linda the four complex personalities.

JESTINA, an educated and iron lady, cannot stand crazy ideas of her mates particularly on men of their dreams. She gets wild when CoCo DIVA, the crazy party girl, tries to insinuate evil minds to the youngest girl LINDA.

CoCo Diva is highly threatened by the natural beauty of sexy KIM. She Cannot also stand NUSRAT, the eldest among them all who has brilliant ideas but fails to execute them. The serious back rash between CoCo Diva and Nusrat steers up the mood of the house.
Can the youngest, funny, sexy, music lover and model‐dreamer Linda stand the peer pressure? 
Enjoy first episode below:


BEST CHEF....GREAT SERVICES WITH GREAT AMBIANCE....WITH PATIO (OUTSIDE SITING)-MGAHAWA WA KINYUMBANI NDANI YA WASHINGTON DC!


NAFASI ZA KAZI KUTANGAZWA SOON
TEGA SIKIO
COOKS
SERVERS
BUSBOYS
MANAGER
GET YOUR RESUME READY-THE BEST EAST AFRICAN CUISINE IN NORTH AMERICA
CHAKULA KITAMU KAMA CHA MAMA

OMMY DIMPOZ AFANYA VIDEO NA SUPER MODEL SOFIA SK WA JIJINI LONDON


 Mwanamuziki Mahiri kutoka Tanzania ambaye kwa sasa yuko London anashoot Video ya wimbo wake mpya,Akizungumza na Swahili Media Group amesema kuwa anayofuraha kuweza kufanya kazi na Supermodel anayetikisa jiji la London.Alipoulizwa na Mwandishi wetu je imekuwaje akaweza kumpata model huyo Dimpoz alitabasamu nakusema Siri yake na pia akasema Model huyo ni fan wake mkubwa pia
kwani anapenda sana miziki ya Dimpoz ingawa Kiswahili hajui.Dimpoz amewaomba wapenzi wake wakae mkao wakula kwani video hiyo itakuwa ni balaa.

                OMMY DIMPOZ NA SOFIA SKVORTSOVA KATIKA VIDEO SHOOT


MSIBA NEW YORK NA TANZANIA

Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.

Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka 2012 na kabla ya kufariki alikuwa mbioni kurejea Tanzania.

Mama Mwaluko atakumbukwa na familia yake kama mama, dada, shangazi, mwalimu, mcha Mungu na mama mwenye busara. Katika kuomboleza msiba wa Mama Mwaluko, Watanzania wote tunaombwa kuifariji familia yake na ndugu zake kwa kujumuika nao katika sala na michango katika wakati huu mgumu wa maombolezo. Taarifa zaidi zitafuata baadae lakini kwa sasa mnaweza kuwasiliana na 

Emma Kasiga kwa simu namba 
612-229-4050 
 Nanna Mwaluko kwa simu namba 
347-693-6129 
na Camelot Funeral Home kwa simu namba 
914-664-8500.
 Taarifa zaidi za msiba huu zitafuata baadae.

Siku ya Jumatano itakuwa ni siku ya kuaga mwili wa Marehemu kuanzia saa tisa na nusu hadi saa mbili za usiku pale Camelot Funeral Home. Anwani ni: 

Camelot Funeral Home, 
174 Stephens Avenue, 
Mount Vernon, New York, 10550. 
Wote mnaombwa kufika kumuaga Mama Lulu John Maro Mwaluko na kuifajiri familia yake. Taarifa zaidi za utoaji wa michango ili kufanikisha msiba huu na rambirambi zitafuata baadae.


Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amen.

Imetolewa na Uongozi - Jumuiya ya Watanzania New York.

Deogratius Mhella
The Executive Secretary
New York Tanzanian Community
c/o Tanzania Mission to the UN
307 East 53rd Street, 4th Floor
New York, NY 10022
Tel: 201-252-7220
Email: info@nytanzaniancommunity.org

KIJIWE CHA UGHAIBUNI



HOYCE TEMU AMONG TOP MISA'S WOMEN TO WATCH 2014

Picture-055
Hoyce Temu a communication specialist at the United Nations in Tanzania has been selected as one of the inspirational southern African women and a rising star in the region.
Temu has been involved in the social works by helping the communities in various ways and sharing what she has to make the world a better living for everyone.
On the International Women’s Day, the MISA announced the first annual MISA’s Women to Watch.
MISA is honoring 12 dynamic­­ and inspirational southern African women who embody both the official United Nations theme for International Women’s Day 2014 - Equality for women is progress for all – as well as the theme designated by non-governmental organisations around the world –Inspiring Change.
MISA Regional Director, Ms Zoe Titus said, “We chose women who we see as rising stars in the region, women whose achievements to date are a promise of more great work to come, making them women to watch.”

KWETU FASHION DESIGN YAZIDI KUPASUA VICHWA -NDIYO HABARI YA MUJINI!


        Displaying photo.JPG
THE CEO WA KWETU FASHION MISSY TEMEKE KATIKA POZI NA MAMODO WAKE
            Displaying photo.JPG
                          MAMA NA MWANA..THE CEO NA KABINTI SPECIAL
                 Displaying photo.JPG
HATE OR NO HATE....KWETU FASHION DESIGN IS ON FAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
     Displaying photo.JPG

SERENA WILLIAMS...BALAAAAAAAAAAAAAAAAAA


                        

BABY MADAHA AJA NA NGOMA MPYA

SHILOLE KUOLEWA NA MWANAMUZIKI MWENZIE?


Wasanii wa kizazi kipya Shilole na Nuhu wamesema kuwa wanapendana sana na wako tayari kufunga ndoa.
Wakizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds,Nuhu alisema yeye yuko real kwa Shilole ndo maana anampenda sana na wamekuwa kwenye mahusiano kwa mieazi mitatu sasa.

Je Ndoa itatokea kweli maana itakumbukwa pia Shilole aliwahi kusema atafunga ndoa na mwanamuziki mwingine Barnaba lakini haijatokea hadi leo.Endelea kutembelea blog yako tutawaletea habari zozote zitakazopatikana kuhusu uhusiano wao.

Lil Wayne Tax Problems.

Lil Wayne has not only stomped on the American flag, he's now said F you to Uncle Sam, because we've learned he hasn't paid his taxes -- TO THE TUNE OF MORE THAN 12 MILLION BUCKS!
According to a tax lien -- obtained by TMZ -- Weezy failed to pay taxes for 2011 and 2012. For 2011 he owes a staggering $5,843,952. And for the following year, even worse -- $6,311,132.
Wayne has had his financial issues. He owed $7 mil for back taxes in 2008 - 9, but he cleared the debt in 2012. He's also had legal issues. In 2012 ... Wayne famously lost a case against Quincy Jones' son after thumbing his nose at the court. A jury socked Wayne for $2.2 mil.
Wayne is reportedly worth $135 MILLION. As Weezy says, "You got money and you know it. Take it out your pocket and show it and throw it."

RICK ROSS PARTY SHUT DOWN.....AFTER SHOT FIRED

A party celebrating the release of Rick Ross’ new album Masterpiece ended in a shooting early this morning. The shooting happened at the Velvet Room, a popular night spot in Atlanta.
Diddy and Ross hosted the party, according to reports, but authorities were called in after shots rang out. A Stone Mountain police  shot a suspect in the exchange.

CHECK IT OUT "PHARELL HAPPY PERFORMANCE AT THE OSCAR

pharrell happy oscars

BEYONCE AND JAY Z LIVE IN LONDON..THEY KILLED IT