MAMBO YA - RED CARPET -DIAMOND CONCERT HOUSTON TEXAS.....JUMAMOSI HII NEW NEW YORK NEW JERSEY!




DIAMOND PLATNUMZ - SAFARI RESTAURANT DC INAKUKARIBISHA MEET & GREAT YA DIAMOND LEO KUANZIA SAA 12 HADI SAA 2 JIONI (6PM-8PM)

Photo: Wen its time to get fresh...we freshin outta street###With @diamondplatnumz and the International DJ the official Diamond Platnumz DJ @romyjons a.k.a The Party Starter #NewYork #New Jersey....Ya better be ready #wecan #Wewill #wewontstop
 Promoter DMK GLOBAL.........DIAMOND ..........The International DIAMOND DJ ROMY JONS.
Photo: DIAMOND WASAFI DANCERS....HAVING LUNCH IN WASHINGTON DC.....AT SAFARI RESTAURANT....#Romyjons ..Official DJ
 MA Dancer wa Diamond (WASAFI) wakiwa na DJ wa Diamond (Romy Jons)Pamoja Mwenyeji wao Promoter (DMK) alipowakaribisha Dinner kwenye Restaurant yake ya "SAFARI" Washington DC

BAADA YA KUZIKONGA NYOYO ZA WANA HOUSTON..KWA MARA NYINGINE TENA "AJ UBAO " NA "PRINCE HERRY " KUFUNGUA SHOW YA DIAMOND NEW YORK/NEW JERSEY JUMAMOSI HII


GALA DINNER YA AFRICAN DAY WASHINGTON, DC


Balozi wa kudumu wa African Union Mhe. Amina Salum Ali akiwa kwenye gwaride la bendera wakati hafla ya gala dinner ya African Day iliyofanyika Washington, DC siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 2,000. Afriacam day ya mwaka huu iliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania wakishirikiana na Ubalozi wa  Rwanda

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwa kwenye gwaride la bendera wakati wa ufunguzi wa Gala dinner ya African Day siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott, Washington, DC.



Mabalozi wakisimama kwa nyimbo za taifa za Marekani na African Union.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akitoa hotuba ya kuwakaribisha wageni siku ya Jumanne May 27, 2014 siku ya African day iliyoadhimishwa Marriott ya Washington, DC.

Balozi wa Rwanda nchini Marekani Mhe.Mathilde Munkanabana nae akitoa hotuba ya kuwakaribisha wageni.

Balozi wa kudumu wa African Union, Mhe. Amina Salum Ali akitoa hotuba.

Meya wa DC, Mhe.Vincent Gray akitoa hotuba.

Meya wa DC, Mhe. Vinceny Gray akimkabidhi hati ya baraza la jiji la DC Balozi wa kudumu wa African Union, Mhe. Amina Salum Ali ya Jiji la Washington, DC kutambua rasmi siku ya African Day.

Meya katika picha ya pamoja na waheshimiwa Mabalozi wa Rwanda, Tanzania na African Union.

Mwakilishi wa Serikali ya Marekani Mhe. Linda Thomas Greenfield akitoa hotuba.
kwa piidi bofya hapa

DUE TO THE OVERWHELMING RESPONSE -DIAMOND EAST COAST SHOW HAS BEEN MOVED TO THE BIGGER AND BETTER VENUE" IN NEW JERSEY



 BAADA YA KUACHA HISTORIA DALLAS NA HOUSTON SASA NI ZAMU YA EAST COAST
                                                                 FOR INFO  PLZ  CALL
   DMK-301-661-6207 ..INNO-713-373-6525 ..PETER-240-605-1870...JAHAZI -201-673-4282

PICHA ZA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN WALIPOFUNGA NDOA!





DIAMOND KUWARUSHA WAKAZI WA EAST COAST MAREKANI..NEW YORK..NEW JERSEY..BOSTON...DE..NC..OH..DC..JUMAMOSI HII MAY 31 PALE ELIZABETH CITY NJ.



 BAADA YA KUACHA HISTORIA DALLAS NA HOUSTON SASA NI ZAMU YA EAST COAST
                                                                 FOR INFO  PLZ  CALL
   DMK-301-661-6207 ..INNO-713-373-6525 ..PETER-240-605-1870...JAHAZI -201-673-4282

DIAMOND PLATNUMZ -FRESH BAADA YA B.E.T AWARDS NOMINATION..JUMAPILI HII HOUSTON KUWAKA MOTO !


UPDATE: Jay Z,Beyoncé and Solange Reunited in New Orleans..Mambo Shwariiiiiiiiii

Beyonce, Solange

We can all lay the Carter-Knowles family drama to rest. The latest photographic evidence that all is well post-elevator fight is a pic of Jay Z joining his wife Beyoncé, mother-in-law Tina Knowles and sister-in-law Solange Knowles for lunch in New Orleans. As previously reported, the sisters got together for a photo-op on Saturday that Bey shared on her Instagram page. Now, in a pic posted on her websiteBeyonce.com, Jay is seen cozying up with the ladies. It’s the first image of the rapper and Solange together since the infamous video of their altercation inside The Standard Hotel elevator leaked last week.

KENYA MORE NAKED FOR A CALENDAR


Kenya Moore is showcasing her bodacious body in a steamy calendar for Cynthia Bailey’sBailey Agency. The former Miss USA stripped down for twelve steamy photos shot by photographer Derek Blanks. Each photo carries a theme ranging from Mommy Kenya, showing her walking her late dog in a baby stroller, to gone with the wind Kenya showing off her ripped abdominals

           

50 CENT NO SHOW AT HIS SON'S GRADUATION

             

BREAKING NEWS...JUST ADDED "AJ UBAO" & DIRTY HERRY TO PERFORM ALONGSIDE DIAMOND PLATNUMZ IN HOUSTON TEXAS THIS MEMORIAL MAY 25 !

BRAND NEW HITS FROM AJ & DIRTY HERRY ON THE STAGE WITH WCB 
#WE SUPPORT OUR TALENTS#ENT WILL BE TELEVISED ON THE RED CARPET#
GET YOUR TICKETS NOW WWW.DIAMONDUSATOUR.COM


DIAMOND SHOW HOUSTON TX MAY 25...RED CARPET YA NGUVU..PAPARAZZI WAKUMWAGA..TANGAZA BIASHARA YAKO KWA BEO POA!

TANGAZA  BIASHARA YAKO KWA BEI POA KWENYE RED CARPET AMBALO LINASADIKIWA KUWA LITAVUNJA RECORD ZOTE ZA WANAMUZIKI WA EAST AFRIKA WALIOWAHI KUJA AMERICA..
PIGA SIMU # 301-661-6207 : 240-605-1870 : 713-373-6525
TICKET ZA SHOW INGIA WWW.DIAMONDUSATOUR.COM

NAY AVUNJA NDOA YA SKAINA WA BONGO MOVIE



Nay wa Mitego 
Skaina
SASA hakuna ubishi kuwa, ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na kuvunjika kabla ya mwezi mmoja kati ya msanii wa filamu za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ na Saad Omar, chanzo ni Mwanabongo Fleva, Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’. 
Habari za awali zilisema kuwa, ndoa ya Skaina iliingia mdudu baada ya mumewe kugundua kuwa alinunua ‘mbuzi kwenye gunia’, kwani bidada huyo alikuwa na ujauzito wa mtu mwingine.
Hata hivyo, minong’ono ilikuwa inasema kuwa, mimba hiyo ilikuwa ya Nay ingawa awali, hakuna aliyekuwa tayari kufafanua kuhusiana na ishu hiyo. 


DIAMOND AFAGIA KILIMANJARO AWARDS..ASHINDA TUZO 7!

                    
                                                  Diamond akiwa na Moja ya Tuzo akitoa shukrani
                   
                                                    Diamond na Mpenzi wake Wema
Msanii wa kizazi kipya, Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinumz leo May 3, 2014 amedhihirisha kuwa yeye ni msanii mkali kwa kuchukua tuzo saba katika Tuzo za KILIMANJARO 2014 (KTMA).

Diamond amejinyakulia tuzo:

Msanii Bora wa Kiume,
Video Bora ya Mwaka.
Mtumbuizaji bora wa Muziki wa Kiume.
Wimbo Bora wa Afro Pop.
Wimbo Bora wa Mwaka.
Mtunzi Bora wa mwaka Kizazi Kipya.
Wimbo Bora wa Kushirikisha/Kushirikiana.

Hakika Diamond ameonyesha ukali wake, na kuonyesha kuwa yeye ni bora zaidi na anapendwa na watu.

 Juu na chini Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakikamua wimbo wao maalufu w "Me and U"

KUTOKA FACEBOOK RIDHIWANI AMPONGEZA DIAMOND KWA KUSHINDA KWA KISHINDO KTM

    
Kwanza Hongera sana kwa kushinda Kili Awards.Hii ni zawadi nzuri unayoweza kupata baada ya Jitihada,Kujituma, na Burudani nzuri kwa washabiki wako.Mungu akujalie mema zaidi ya hapo.Hongera sana Platnumz.

SIKILIZA SWAHILI RADIO ONLINE UKISIKIA TANGAZO HILI PIGA SIMU #3016616207 KUJISHINDIA FREE DIAMOND HOUSTON SHOW TICKET !



DC Goverment wavutiwa na mitindo ya Kwetu fashion walioyaona siku ya Muungano Day – 50. Embassy of Tanzania Washington D.C



2014 all America Embassies festival event  by DC Goverment.The largest festival in the universe has picked KWETU FASHION DESIGN to represent African union in a blockbuster fashion show.     Venue:  THE EMBASSY ROW HOTEL  2015 Massachusetts Ave. Nw 20036.Lincoln Ball Room      Time 2-4pm .
Please come and join us to showcase our motherland Afrika. Other activities includes,Arabic cultural art facts and Arabian music concert featured byArab League .European union cultural displays and many more international activities will be presented.No entrance fee is involve.

KIJIWE CHA UGHAIBUNI