MHE. LAZARO NYALANDU MGENI RASMI MIAKA 4 YA VIJIMAMBO PROMOTING TANZANIA TOURISM EXPO IN USA

Vijimambo kwa ushirikiano wa pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Jumuiya ya Watanzania DMV wanapenda kukukaribisha kwenye sherehe ya miaka 4 ya Blog ya Vijimambo kwa kutangaza Utalii wa Tanzania nchini Marekani na kukemea ujangili wa mali asili wa nchi yetu siku ya September 13, 2014 itakayofanyika THE OXFORD EVENT CENTER 9700 Martin Luther King Jr HWY, Lanham, MD 20706. kutakua na burudani za kila aina kutoka nyumbani na hapa Marekani TEGA SIKIO MAMBO MENGI MAZURI YANAKUJA .
Mwenyekiti wa kamati ya Vijimambo Bwn. Baraka Daudi akitia saini kitabu cha wageni  Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku kamati ilipokutana na Ubalozi kwa kikao cha Maandalizi ya sherehe ya miaka 4 ya Vijimambo ambayo mwaka huu mbiu yake ni kutangaza Utalii na kukemea ujangili kwa nguvu zote karibu tuungane pamoja katika siku hii maalumu ili wewe, mimi pamoja na yule wakiwemo watoto wetu wajifunze mengi kuhusu Utalii wa nchi yetu ukiwemo kukemea nguvu zote swala zima la ujangili mali asili za nchi yetu.
Kaimu Katibu wa kamati ya Vijimambo Bwn Julius Katanga akitia saini kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku kamati ya maandalizi ilipokutana na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe ya miaka 4 ya Vijimambo itakayofanyika September 13, 2014.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiongoza kikao siku kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 4 ya Vijimambo ilipokutana na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya maatayarisho ya mwanzo mwanzo ya sherehe hizo.
 
Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Bwn. Suleiman Saleh akifuatilia kikao.
Wanakamati ya maandalizi kutoka kushoto Julius Katanga, Mayor Mlima na Baraka Daudi wakimsikiliza Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani

Vybz Kartel Sentenced To Life In Prison For Murder, No Parole For 35 Years

We may have heard the last of the legendary singer Vybz Kartel. Today (April 3rd), Kartel was sentence to life in prison for the murder of his former associate Clive “Lizard” Williams.
This was the longest murder trial in Jamaica’s history and prosecutors say Williams was murdered after a failed business deal. Vybz Kartel, who was convicted  of the murder last month was also prevented from having parole for 35 years as apart of his life sentence handed down by Supreme Court Justice Lennox Campbell.
Shawn “Shawn Storm” Campbell, Kahira Jones and Andre St John were also given life sentences in connection to Williams’ murder. Williams body was never found and the jury voted 10-1 to convict the four people. The one juror who voted against the decision has since been charged with attempting to bribe other jurors into changing their decisions.
Clive Williams was murdered in August of 2011, the same month Vybz Kartel 

Drakes Releases New Track “Days In The East”

Drake Performing At The Fox Theater
Drake lets loose another new track this week. After dropping “Draft Day,” Drizzy’s back with “Days In The East” produced by PARTYNEXTDOOR and co-produced 40. The song features a line from Rihanna’s “Stay,” and Drake discussing a time he spoke with Erykah Badu about LOVE

SUPER MODEL FLAVIANA MATATA AZIDI KUIPEPERUSHA TANZANIA VYEMA....ANG'ARA NA NGUO ZA KATE SPADE




WATOTO WA EDDY MURPHY" BRIA" & SHYNE ..W.AZIDI KUWA GUMZO....WANAFAYNYA LINGERIE MODELING


                                                                               BRIA

                         SHYNE                                                                                 BRIA
                                             JE NANI MKAREEEEEEEEEEEEEEEZEEE

NEW...NEW...NEW SAFARI MGAHAWA WA KITANZANIA KWA AJILI YA WATANZANIA WASHINGTON DC SASA KUFUNGULIWA RASMI IJUMAA APRIL 11- 20 14



UNDER NEW MANAGEMENT
NEWLY RENOVATED
OUTSIDE SEATS
NEW MENU
FREE PARKING
#1 TANZANIAN PROFESSIONAL  COOKS
CHEF SHEBBY & CREW 
INFOS: 301-661-6207


NGOMA YA DIAMOND NA PROFESSOR JAY IMEVUJA KABLA HAIJAKAMILIKA..ILA ITATISHAAAAJE!

DIAMOND...AZIDI KUWATIKISA WANAMUZIKI WA NIGERIA!


                                                                  WAJE -SINGER NIGERIA
     Mwanadada mwanamuziki Kutoka Nigeria Waje katika insta yake amemwagia sifa kedekede Mwanamuziki kutoka Tanzania Diamond Platnumz.
     Waje ni mmoja ya wanamuziki kutoka Nigeria ambaye amefanya Collabo na Diamond jana Usiku na kuisema kuwa She cant wait for the song to come out.
    Waje ndiye Mwanadada aliyeimba kwenye ile single iliyotikisa Dunia kutoka kwa P'SQUARE ya DO ME.
 Kama umfahamu vizuri angalia moja ya Video zake hapo chaini.